Wednesday, December 14, 2011

SAY LEE’ APANIA KUMPIKU NEY WA MITEGO

Akiwa katika ni pozi la kibishi.
….Pozi la kawaida.
…..Akitabasamu.



MSANII chipukizi, Juma Bakari Mansa ‘Say Lee’ aliyeibuka kwa staili ya kumtupia madongo nguli wa muziki wa Hip Hop Bongo, Ney wa Mitego, ameapa kumfunika vibaya katika muziki.

Msanii huyo aliyasema hayo jana katika ofisi za Global ambapo alisema kwamba amegundua Ney wa Mitego  anapotosha jamii katika nyimbo zake hivyo ujio wake utakuwa wa…
Akiwa katika ni pozi la kibishi.
….Pozi la kawaida.
…..Akitabasamu.

MSANII chipukizi, Juma Bakari Mansa ‘Say Lee’ aliyeibuka kwa staili ya kumtupia madongo nguli wa muziki wa Hip Hop Bongo, Ney wa Mitego, ameapa kumfunika vibaya katika muziki.
Msanii huyo aliyasema hayo jana katika ofisi za Global ambapo alisema kwamba amegundua Ney wa Mitego  anapotosha jamii katika nyimbo zake hivyo ujio wake utakuwa wa kumrekebisha.


No comments:

Post a Comment