-AWATUHUMU KWA UFISADI,MKAPA KUWASHA MOTO LEO
KAMPENI za uchaguzi mdogo jimbo la Igunga, mkoani Tabora zimeanza rasmi huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikiwarushia makombora wagombea wa CCM, Dk Dalaly Peter Kafumu na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa.
Wakati Chadema kilizindua kampeni hizo jana, CCM kinatarajiwa kuzindua kampeni zake huku Mkapa akitarajiwa kuongoza mashambulizi katika uzinduzi huo. Mkapa aliwasili Igunga jana kwa tambo za kuwasambaratisha wapinzani.
No comments:
Post a Comment